Habari Digital
Habari Digital
  • 1 145
  • 16 439 677

Відео

BREAKING!! Msigwa wa CHADEMA ahamia CCM na kupokelewa na Rais SAMIA
Переглядів 8 тис.2 години тому
BREAKING!! Msigwa wa CHADEMA ahamia CCM na kupokelewa na Rais SAMIA
MPINA amjibu MUSUKUMA kuhusu kumchongea CCM, asema watakuwa na kibalua kizito
Переглядів 10 тис.2 години тому
MPINA amjibu MUSUKUMA kuhusu kumchongea CCM, asema watakuwa na kibalua kizito
KAMA UNA ROHO NDOGO usiangalie, Mtoto ananyofoka nyama na kukatika Mifupa, mama amlilia RC MAKONDA
Переглядів 3,3 тис.4 години тому
KAMA UNA ROHO NDOGO usiangalie, Mtoto ananyofoka nyama na kukatika Mifupa, mama amlilia RC MAKONDA
"Tunashusha korodani chini kwa kufanya upasuaji" PROF JANABI kwenye kambi ya RC MAKONDA
Переглядів 2,6 тис.9 годин тому
"Tunashusha korodani chini kwa kufanya upasuaji" PROF JANABI kwenye kambi ya RC MAKONDA
"siogope kipimo cha TEZI DUME, sio hicho mnachokijua" RC MAKONDA
Переглядів 1,2 тис.12 годин тому
"siogope kipimo cha TEZI DUME, sio hicho mnachokijua" RC MAKONDA
HUU JINUPENDO, Tazama MAKONDA alivyompakia mgonjwa kwenye HELKOPTA na kumuwahisha hopital
Переглядів 11 тис.14 годин тому
HUU JINUPENDO, Tazama MAKONDA alivyompakia mgonjwa kwenye HELKOPTA na kumuwahisha hopital
SPIKA amfungisha vilago MPINA afungiwa VIKAO 15 vya Bunge, Wabunge washangilia
Переглядів 20 тис.16 годин тому
SPIKA amfungisha vilago MPINA afungiwa VIKAO 15 vya Bunge, Wabunge washangilia
MUSUKUMA amraru MPINA kwenye hukumu yake, MPINA ashindwa kujizuia asimama kuongea
Переглядів 36 тис.16 годин тому
MUSUKUMA amraru MPINA kwenye hukumu yake, MPINA ashindwa kujizuia asimama kuongea
Rais Samia ampigia simu MAKONDA ampongeza kuleta HELKOPTA kwaajili ya kubeba wagonjwa ARUSHA
Переглядів 18 тис.16 годин тому
Rais Samia ampigia simu MAKONDA ampongeza kuleta HELKOPTA kwaajili ya kubeba wagonjwa ARUSHA
MAKONDA APELEKA MADAKTARI ZAIDI YA 450 KUTOA HUDUMA JIJINI ARUSHA
Переглядів 5 тис.21 годину тому
MAKONDA APELEKA MADAKTARI ZAIDI YA 450 KUTOA HUDUMA JIJINI ARUSHA
"Kasimama MJINGA MMOJA kutetea bei ya sukari, ni jambo la ajabu" Mbunge Katani achachamaa Bungeni...
Переглядів 11 тис.День тому
"Kasimama MJINGA MMOJA kutetea bei ya sukari, ni jambo la ajabu" Mbunge Katani achachamaa Bungeni...
RC CHALAMILA akemea wanaowatete WADADA WANAOJIUZA, atoa mfano wa mtoto aliyelawitiwa
Переглядів 7 тис.День тому
RC CHALAMILA akemea wanaowatete WADADA WANAOJIUZA, atoa mfano wa mtoto aliyelawitiwa
BALAA!!! Mashindano ya Pikipiki ya RC MAKONDA, Arusha kumepamba moto
Переглядів 750День тому
BALAA!!! Mashindano ya Pikipiki ya RC MAKONDA, Arusha kumepamba moto
Lipia shilingi MILIONI 5, FARU apewe jina lako
Переглядів 1,4 тис.14 днів тому
Lipia shilingi MILIONI 5, FARU apewe jina lako
KITILA ashindwa kujizuia amnyooshea mikono MAKONDA, akubali moto wake ARUSHA
Переглядів 7 тис.14 днів тому
KITILA ashindwa kujizuia amnyooshea mikono MAKONDA, akubali moto wake ARUSHA
"NATUKANWA lakini SISIKII nimejigeuza CHURA" Rais SAMIA ajibu kuhusu kutukanwa na.....
Переглядів 11 тис.14 днів тому
"NATUKANWA lakini SISIKII nimejigeuza CHURA" Rais SAMIA ajibu kuhusu kutukanwa na.....
NATHAN ATANGAZA NIA YA KUWEKEZA KATIKA UTALII ARUSHA
Переглядів 42921 день тому
NATHAN ATANGAZA NIA YA KUWEKEZA KATIKA UTALII ARUSHA
MAKOMDA amtumbua mtendaaji "Haufai hata kua MFAGIA ofisi, kuanzia leo wewe sio MTENDAJI"
Переглядів 7 тис.21 день тому
MAKOMDA amtumbua mtendaaji "Haufai hata kua MFAGIA ofisi, kuanzia leo wewe sio MTENDAJI"
"Rais SAMIA anivumilie nipige SPANA" Bila Woga MAKONDA ashusha maneno mazito mbele ya Katibu Mkuu
Переглядів 5 тис.28 днів тому
"Rais SAMIA anivumilie nipige SPANA" Bila Woga MAKONDA ashusha maneno mazito mbele ya Katibu Mkuu
Kila lain ya simu kukatwa Tsh 50, Kauli ya Mbunge ILINUKULIWA VIBAYA huu ndio uhalisia wake
Переглядів 51728 днів тому
Kila lain ya simu kukatwa Tsh 50, Kauli ya Mbunge ILINUKULIWA VIBAYA huu ndio uhalisia wake
"Lipeni MILIONI 132, ninyi ni WEZI" ndani ya Dakika 10 MAKONDA afanikisha malipo yaliyokwama
Переглядів 8 тис.Місяць тому
"Lipeni MILIONI 132, ninyi ni WEZI" ndani ya Dakika 10 MAKONDA afanikisha malipo yaliyokwama
"USINICHOKONOE sitaki Tugombane" Bila woga mbele ya MAKONDA, mbunge GAMBO acharuana na MKUU WA WILAY
Переглядів 5 тис.Місяць тому
"USINICHOKONOE sitaki Tugombane" Bila woga mbele ya MAKONDA, mbunge GAMBO acharuana na MKUU WA WILAY
MAKONDA awatumbua VIONGOZI WAWILI kwa mpigo "andikeni barua wenyewe semeni hamfai"
Переглядів 10 тис.Місяць тому
MAKONDA awatumbua VIONGOZI WAWILI kwa mpigo "andikeni barua wenyewe semeni hamfai"
Visa hivi VITAKULIZA Wamama WAMWAGA MACHOZI kwaajili ya watoto wao, waomba msaada kwa MAKONDA
Переглядів 11 тис.Місяць тому
Visa hivi VITAKULIZA Wamama WAMWAGA MACHOZI kwaajili ya watoto wao, waomba msaada kwa MAKONDA
INASIKITISHA Mtoto aliebakwa alia kwa MAKONDA afanya maamuzi MAGUMU, Bibi yake nae aangua kilio
Переглядів 55 тис.Місяць тому
INASIKITISHA Mtoto aliebakwa alia kwa MAKONDA afanya maamuzi MAGUMU, Bibi yake nae aangua kilio
"Waziri wewe ni MUONGO" Mbunge wa SARAKASI haishiwi vituko, amvunja mbavu Spika aleta, ushahidi...
Переглядів 13 тис.Місяць тому
"Waziri wewe ni MUONGO" Mbunge wa SARAKASI haishiwi vituko, amvunja mbavu Spika aleta, ushahidi...
"Nakupandisha Cheo kuanzia leo utakua msaidislzi wangu" MAKONDA amteua mzaidizi wake Mkutanoni
Переглядів 15 тис.Місяць тому
"Nakupandisha Cheo kuanzia leo utakua msaidislzi wangu" MAKONDA amteua mzaidizi wake Mkutanoni
"Wanataka kuniua,Watu 8 wamelipwa Milioni 6" MAKONDA afichua mpango wa kutaka kumuangamiza
Переглядів 24 тис.Місяць тому
"Wanataka kuniua,Watu 8 wamelipwa Milioni 6" MAKONDA afichua mpango wa kutaka kumuangamiza
"Tusileteane Ujinga Ujinga hapa, Kuanzia leo wewe sio Mkuu wa Idara" MAKONDA amtumbua Mkuu wa Idara
Переглядів 83 тис.Місяць тому
"Tusileteane Ujinga Ujinga hapa, Kuanzia leo wewe sio Mkuu wa Idara" MAKONDA amtumbua Mkuu wa Idara

КОМЕНТАРІ

  • @iddisalimu5028
    @iddisalimu5028 Хвилина тому

    Daah huyu mtoto analaaana duniani na ahera

  • @JohnMashamba
    @JohnMashamba 18 хвилин тому

    Mhes Mpina Mungu Yuko pamoja nawe,maana Mwenyezi Mungu amesema Mteteaji wangu Yu hai.

  • @MariaCassian-e2i
    @MariaCassian-e2i 20 хвилин тому

    Msukuma wapi unaenda sasa😂😂katika wabunge niliokuwa nawahesabu wasema kweli na wewe ulikuwa kwenye hesabu zangu lakini kwahili 😂😂

  • @This-f1k
    @This-f1k Годину тому

    Hovyo

  • @user-kf6tz1px6f
    @user-kf6tz1px6f 8 годин тому

    Ccm sio chama cha siasa hili haitaki PhD kujua kuw ccm ni chama chama pinduzi kitapindua hataa meza

  • @user-cp6vt6nd9o
    @user-cp6vt6nd9o 8 годин тому

    Wewe luhaga no mnyama sana huna tofauti nandugai

  • @user-kf6tz1px6f
    @user-kf6tz1px6f 8 годин тому

    Spika wa hovyo

  • @user-kf6tz1px6f
    @user-kf6tz1px6f 8 годин тому

    HIVI LAZIMA CCM IONGOZEE HII NCHI MBONA KAMA WALARUSHWA WAMEJAA CCM?

  • @user-kf6tz1px6f
    @user-kf6tz1px6f 8 годин тому

    Spika wa hovyo wala Rushwa wakubwa, mapambano ndo yataanza sio chadema si ndo hao hao waluouza bandari

  • @stevenkajubili
    @stevenkajubili 8 годин тому

    Upo vizuri

  • @godblessmbowe317
    @godblessmbowe317 9 годин тому

    Kweli yajayo yanafuraisha tumuombe mungu atupe maisha marefu tena mchana kweupee

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 10 годин тому

    Msukuma na Lusinde hawana kitu hao no shule kwenye uuzaji wa Bandari dpworld walihuaika sanaaaa uchawa wake hamna kitu hao mabomu

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 11 годин тому

    Unataka sukari iuzwe 20000

  • @castorymhoja6050
    @castorymhoja6050 11 годин тому

    Yafanyeni TU ipo siku mtaangukia pua niliipenda Sana ccm Ila ilishanitoa jiani poleni Sana hizo ndiyo mtakuja kujutia.

  • @ReginaJoseph-cm3cx
    @ReginaJoseph-cm3cx 11 годин тому

    Msukuma tatizo lake ni kukosa shule,, yeye anaoperate kwa emotional akili hana

  • @charlesmpemba9387
    @charlesmpemba9387 11 годин тому

    Makonda wewe ni kioo Cha jamii .samia akushikirie sana.unamheshimisha sana

  • @user-tm4bl5tg3t
    @user-tm4bl5tg3t 11 годин тому

    Dah😭😭😭😭mungu atusaidie sisi wenye watoto wa kike😭😭😭🙌🏽💔

  • @AzizMangara
    @AzizMangara 11 годин тому

    🤲🤲🤲

  • @DottoMussa-ro6rw
    @DottoMussa-ro6rw 12 годин тому

    unajua hawa wabunge la Saba ni shida sana,,huyu nusukuma ukimsikiliza mara nyingi ni u sure boy tu ma mission town tu ujanja ujanja wa mitaani elimu ziro,,tangu issue ya bandari msukuma ni fata upepo tu,, nyie wanasiasa ,,mnachosha sana,,me nadhani tunaihitaji kubadisha namna ya utawala,,sikubaliani na mifumo ya demokrasia ni umalaya wa kiutawala

  • @OmarMohamed-bs2hf
    @OmarMohamed-bs2hf 12 годин тому

    Sawasawa chama kisilinde muhalifi kwakuwa ni mwana chama takukuru ime wekwa kwa kila ambae muhalifu

  • @OmarMohamed-bs2hf
    @OmarMohamed-bs2hf 12 годин тому

    Kama sukari nikweli sukari hakina na kama ipo kwanini sukari imefikia kilo 5000 way

  • @mwaamwetahussain9947
    @mwaamwetahussain9947 12 годин тому

    Huyu waziri mbona simulewi watu wanakimbiana wakati wakuandaa sio wakati wa kula

  • @user-es2yt1jc4i
    @user-es2yt1jc4i 14 годин тому

    Uhakika kwanza waliisha sema marehem wenyewe

  • @kushcultureralph568
    @kushcultureralph568 14 годин тому

    Mwizi ni mwizi tu hata akisimangwa ni sawa tu

  • @bahatjuma7458
    @bahatjuma7458 17 годин тому

    Ungemwambia pale bungeni, unalia kwa kukosa posho wewe, ungekataa kutoka bungeni Sasa

  • @bahatjuma7458
    @bahatjuma7458 17 годин тому

    Sasa wale Kagera sugar hawana kiwanda? Vibari vimetolewa kwenye makampuni yanayozaliza sukari

  • @salumjabir813
    @salumjabir813 17 годин тому

    😂😂😂😂😂....tanzania bhana..vituko kwel

  • @allykassim1120
    @allykassim1120 18 годин тому

    msukuma kumbe ni Wa hovyo anatetea mafisadi siamini macho yangu walahi mpina big up

    • @user-jj7qv7kh2s
      @user-jj7qv7kh2s 15 годин тому

      Yeye mwenyewe fisadi ataachaje kuwatetea.

  • @user-eh5xn9zm1g
    @user-eh5xn9zm1g 18 годин тому

    Kwenye inchihii tujitahidi kumwomba mungu na nafanyakazi vizuri ilifamilia zetu zisikose chakula, ila ishu ya siasa niheri uchukue biblia uendeleee kusoma, ilisikuya mwisho ukafrahi pamoja na mungu mbinguni

  • @user-sc1gx5zi8i
    @user-sc1gx5zi8i 19 годин тому

    Mungu akupe nafuu amponye mtoto wetu. Tupo nawe. Mungu ambaliki mkuu wa mkoa poul c. Makonda.

  • @emmanuelbahati6259
    @emmanuelbahati6259 19 годин тому

    Mama hapo nimemuelewa vizuri,hajakosoa mwenendo wa mwanri,bari ametumia mfano wa viongozi kutegemea sauti kutoka ngazi ya juu kama alivyokuwa anaelekezwa enjinia na mwanri,tufuatilie vizuri,mheshimiwa rais katumia mfano

  • @user-gn8zs4qx2y
    @user-gn8zs4qx2y 20 годин тому

    Wabunge wa ndio

  • @monicachacha455
    @monicachacha455 21 годину тому

    safiiii

  • @user-ne5cg4vv1h
    @user-ne5cg4vv1h 22 години тому

    Tatizo ndio mnyololo wawalaji pesa za wajinga za wanyonge kwanza Mimi hatasioni hata kinacho endelea zaidi ya madeni kuwa makubwa kuongezeka wamekuto ili usipinge ulaji wao uludi bajet tayali msukuma ndio kinara anajiona yeye msafi Sana MUNGU anawaona

  • @RBMBAKARI-bv6wn
    @RBMBAKARI-bv6wn День тому

    Baada ya mzee kikwete wewe mama ukienda vizuri sisi wafanyakazi tulifurahibsana enzi ya kikwete hakika yule mzee atakumbukwa sana .fuata nyayo zake mama bila kuogopa chochote sisi watumishi tutakukumbuka

  • @robertgodfrey9869
    @robertgodfrey9869 День тому

    One army

  • @RBMBAKARI-bv6wn
    @RBMBAKARI-bv6wn День тому

    Inaelekea huyu yupo na chama bado ila amekosea timing hiki kipindi SI kupingana na serikari . Halafu anasahau uwajibikaji wa pamoja .lakini anaendekea kufanya makosa kuendelea kuongea na vyombo vya habari pasipo kuwasilisha hoja zake katika chama .labda kama amejipanga kuondoka

  • @allykiparis-ts9nl
    @allykiparis-ts9nl День тому

    Lasaba ni labasaba tu

  • @SanziNzige
    @SanziNzige День тому

    Uko SAWA mpina acha wakufanyie ujinga wamezoea hao mafisadi kuficha wizi wao.tunawaambia watakujaga kumfukuza na ujumbe au maksudi ya MUNGU kwa ujinga wao.wanadhani lisisiem la majizi halitakuwa na mwisho litakuwepo TU milele wasahau mwisho wao huooo? tunauona wanautaka wenyewe wanaupata.

  • @bonifacedanielmwakisunga9638

    Na shida ya msukuma anajifanya kanajua sana kuongea bila point elimu elimu shida yeye na hao la saba ndio wanaharibu bunge kisa ujue kusoma na kuandika basi msukuma ni shida ule ni ujanja ujanja wao Ili waonekane wanatetea chama

  • @David-uhayi
    @David-uhayi День тому

    Samiya akistaff makonda chukuwa

  • @RashidMohamed-rv2hm
    @RashidMohamed-rv2hm День тому

    Mpina karibu chadema ccm wamekuchoka

  • @marianamontoedi1318
    @marianamontoedi1318 День тому

    Tusikubali tena Mpina hana kosa

  • @AiserAli-mq6sz
    @AiserAli-mq6sz День тому

    Congratulations mr msigwa

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf День тому

    Huu mfumo dume sijuwi utaisha lini Tz?. Akina Lazaro Nyalandu wapo wengi ktk nchi hi huku wale wanadiplomasia wakipiga chapuo kana kwamba hawajuwi kilichopo chini ya bahari, ccm bana hatari sana. Kumbatia bomm likubutukiyee 😢😅😢👆.

  • @sadiqadam7971
    @sadiqadam7971 День тому

    Komaa nao mkubwa

  • @Nehe100Kilindu
    @Nehe100Kilindu День тому

    Sikutarajia ukohivi

  • @JoelisonMakambi
    @JoelisonMakambi День тому

    Pole kaka

  • @GidionBukwimba
    @GidionBukwimba День тому

    Mpina kalishitaki Hilo li mwanamke